Excellent4.8 out of 5On Trustpilot
  1. Bible Commentaries/
  2. New Testament Bible Commentaries

Bookmark this item

Waraka wa Paulo kwa Waefeso

  • Paperback
  • Publisher: Independently Published
  • 12.7 x 20.4 x 0.8 cm

£12.92

Available - Usually dispatched within 5 days

Buying for a school or church? Upgrade to a FREE Eden Plus Account

Bookmark this item

Waraka wa Paulo kwa Waefeso, ni moja ya barua za muhimu sana katika Biblia-Agano Jipya. Katika waraka huu, Mtume Paulo anaelezea kwa undani jinsi Mungu alivyowafanya Wamataifa na Wayahudi kuwa kitu kimoja katika Kristo. Anafunua siri kuu ya ukombozi na kuonesha kwamba watu wote, yaani Wayahudi na wasio Wayahudi ni sawa mbele za Mungu na kwamba wote wanaokolewa kwa neema kwa njia ya imani. Kupitia kwa Yesu Kristo, wote ni watoto wa Mungu na wote ni wenyeji katika maskani yake. Ujumbe wa Paulo katika waraka huu, umeifanya Habari Njema ya wokovu, kuwa Habari Njema kweli kweli. Mwandishi wa kitabu hiki, Mchungaji Christopher Mwashinga, amezielezea sura tatu za kwanza za Waraka huu, kwa namna rahisi, fungu kwa fungu, na kufanya ujumbe wa Paulo ueleweke vizuri kwa msomaji yeyote bila kujali kiwango chake cha elimu.
Waraka wa Paulo kwa Waefeso and Kumtumaini Yesu - Swahili
Kumtumaini Yesu - SwahiliWaraka wa Paulo kwa Waefeso

  • Title

    Waraka wa Paulo kwa Waefeso

  • Author

    Mwashinga, Christopher, Jr.

  • Book Format

    Paperback

  • Publisher

    Independently Published

  • Published

    July 2020

  • Weight

    146g

  • Dimensions

    12.7 x 20.4 x 0.8 cm

  • ISBN

    9798666909997

  • ISBN-10

    8666909994

  • Eden Code

    5296933